Hoja za Wahariri Titelbild

Hoja za Wahariri

Hoja za Wahariri

Von: The Standard Group PLC
Jetzt kostenlos hören, ohne Abo

Über diesen Titel

Wahariri wetu wenye tajriba wanatoa hoja na mitazamo mizito kuhusu masuala yanayogonga vichwa vya habari, kila wiki.The Standard Group PLC Politik & Regierungen
  • Vita vya Urusi na Ukraine; athari kwa dunia
    Feb 25 2022
    Mwanahabari mstaafu wa kimataifa, Abdu Mtullya anasema vita vya Urusi na Ukraine havistahili na huenda vikaathiri zaidi uchumi duniani, ikiwamo Afrika. Vita hivyo vimesababisha kupanda kwa bei ya mafuta, Urusi ikiendelea kurusha makombora katika ngome za Ukraine, hali ambayo haijawahi kushuhudiwa tangu mwaka wa 2014.
    Mehr anzeigen Weniger anzeigen
    8 Min.
  • Mzozo wa Urusi na Ukraine; Mohamed Abdul-Rahman anachambua
    Feb 22 2022
    Je, unafahamu chimbuko la mgogoro kati ya Urusi na Ukraine, athari zake na unamaanisha nini kwa Afrika na dunia nzima? Mwanahabari/ Mhariri mstaafu na mchambuzi wa masuala ya kimataifa, Mohamed Abdul-Rahman anasimulia.
    Mehr anzeigen Weniger anzeigen
    15 Min.
  • Hoja za Wahariri: Kitendawili cha mili Mto Yala - ndani ya magunia
    Jan 20 2022
    Dunia inazidi kushangazwa na suala la mili zaidi ya 20 kupatikana ndani ya magunia katika Mto Yala. Mili hiyo ina alama na ishara za mateso. Je, waliouliwa ni akina nani na sababu za kuuliwa ni gani? Aidha, twajadili siasa za OKA vilevile usajili wa wapigakura wapya. Ali Manzu anawashirikisha wanahabari, Shisia Wasilwa na Kennedy Wandera katika kudadavua masuala haya.
    Mehr anzeigen Weniger anzeigen
    43 Min.
Noch keine Rezensionen vorhanden